Makamu wa Rais Samia Suluhu anatarajiwa kuwa mgeni katika zoezi la Uzinduzi wa Kampeni ya Miti yenye Kauli mbiu MTI WANGU katika Mkoa wa Dar es salaam Tarehe 1 Oktoba 2016 Mti wangu. Uzinduzi huo utahusisha Viongozi mbalimbali wa Serikali na Mashariki binafsi huku lengo likiwa kuhakikisha kila Mkazi wa Jiji la Dar es salaam anashiriki kulinda na kuhifadhi Mazingira kwa kupanda Mti. Felix Ryaniva Mkuu wa Wilaya ya Temeke, amesema ni wajibu wa kila mwananchi kutunza Mazingira na kuacha tabia ya ukataji Miti hovyo kwani ni hatari kwa usitawi wa Taifa
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni