Wamachinga wamesema tatizo la ajira ni kubwa nchini wameamua kujiajili wenyewe ili kuondokana na utegemezi pamoja na kushiriki katika makundi mabaya ya uwalifu, wamesema wanamshukuru Dkt John Pombe Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bara na Visiwani kwa kuonyesha Upendo kuwa anatambua shughuli wanazofanya wasisumbuliwe na Mgambo pamoja na Jeshi la Polisi kuwatawanyisha. nakuwakamata, hivi sasa wanafanya kazi zao kwa Amani na Usalama na mali zao
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni