Joseph Antobiya mmoja kati ya watu wanaotegemea kazi ya Kilimo cha Mbogamboga za Majani jijini Dar es salaam, Wamemuomba Rais John Pombe Magufuli azisimamie Pesa alizokusudia kuwapatia Wananchi kila Mitaa na Vijiji na vitongoji ili pesa hizo ziwafikie walengwa. Joseph amesema Serikali iliyopita ilikuwa ikitowa Pesa mbalimbali za maendeleo kwa wananchi lakini ilikuwa inaishia mikononi kwa wachache walengwa aiwafikii. Hata hivyo amesema Wana miaka zaidi ya miaka 20 wakitegemea Kilimo lakini awajawahi kutembelewa na Afisa Kilimo wala kiongozi yoyote wa Wilaya hiyo kuangalia shughuli wanazofanya au kutowa ushauri wa kitaalam
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni