MAKAMU WA RAIS SAMIA, SULUHU AMEZINDUA KAMPENI YA MITI WILAYA YA TEMEKE JIJINI DAR ES SALAAM

Wananchi wameshauriwa kuacha tabia ya kuharibu Mazingira na badala yake kuwa na Utaratibu wa kupanda Miti ili kuepukana na uchafuzi wa hali ya hewa na majanga yasiyo ya lazima.  Hayo yamesemwa na Makamu wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu katika Kampeni ya Miti yenye Kauli mbiu MTI WANGU  na kuvitaka vyombo vya ulinzi na Usalama kuwa mstari wa mbele kulinda. Miti hiyo. Lengo la Serikali ni kupanda Mti kila nyumba kwa sasa maeneo mengi ya mijini yamekuwa na uharibifu mkubwa wa Mazingira Kutokana na ukataji Miti kiholela

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List