Wananchi wameshauriwa kuacha tabia ya kuharibu Mazingira na badala yake kuwa na Utaratibu wa kupanda Miti ili kuepukana na uchafuzi wa hali ya hewa na majanga yasiyo ya lazima. Hayo yamesemwa na Makamu wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu katika Kampeni ya Miti yenye Kauli mbiu MTI WANGU na kuvitaka vyombo vya ulinzi na Usalama kuwa mstari wa mbele kulinda. Miti hiyo. Lengo la Serikali ni kupanda Mti kila nyumba kwa sasa maeneo mengi ya mijini yamekuwa na uharibifu mkubwa wa Mazingira Kutokana na ukataji Miti kiholela
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni