Imeelezwa kuwa kumekuwepo kwa usambazaji wa taarifa za upotoshaji zinazolewa na baadhi ya wanasiasa wakishirikiana na baadhi ya vyombo vya habari kukejeri na kudhihaki jitihada zinazofanywa na Chama cha Mapinduzi na Serikali katika kuleta maendeleo ya Watanzania. Hayo yamesemwa na msemaji wa Chama cha Mapinduzi Ccm Christopher Ole Sendeka akidai kuwa kumekuwepo na Makala ya Magazeti mawili ya nje na ndani ya nchi ambayo yamekuwa yakiandika habari zisizp, za ukweli kuhusu Tanzania
.Ameeleza kuwa Rais John Pombe Magufuli anaendelea kufanya juhudi kubwa katika kujenga nchi kwa kuimarisha maadili ya utumishi wa Umma, huku akitaka jamii kupuza maneno hayo ya upotoshaji ,bali wamuunge mkono Rais Magufuli
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni