Mamlaka ya Chakula na Dawa TFDA imekamata dawa muhimu ,dawa za mifugo na Vipodozi vyenye thamani ya shilingi miluoni kumi na saba katika Operesheni iliyofanyika na Mamlaka hiyo katika mikoa ya Kanda ya Ziwa na Nyanda
za juu Kusini
Mkurugenzi mkuu Mamlaka ya Chakula na dawa Hiiti Silio amebainisha kuwepo aina tano za dawa zulizobainika ,huku zikiwa katika Makundi mawili, sanjari na kufafanua tofauti ya dawa bandia na dawa halisi
Utafiti huo ulifanyika Oktoba 4 hadi 6 mwaka huu ambapo wadau mbalimbali na wananchi wametakiwa kushirikiana na Mamlaka ya Chakula na dawa pale wanapobaini uwepo wa dawa na Vipodozi bandia kwa manufaa ya Jamii na taifa
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni