Wafugaji waishukuru Serikali kwa kusitisha zoezi la uchapaji chapa kwa Wanyama baada ya kutoa kilio chao kwa mda mrefu.

Serikali imesitisha zoezi la uchapaji chapa wanyama baada ya kubaini wafugaji ambao ndio wadau hawana uelewa na zoezi hilo.Hivyo wamepanga kukutana na Wadau wote wa ufugaji na kutoa elimu juu ya zoezi hilo ili watambue faida ya uchapaji chapa.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List