Serikali imesitisha zoezi la uchapaji chapa wanyama baada ya kubaini wafugaji ambao ndio wadau hawana uelewa na zoezi hilo.Hivyo wamepanga kukutana na Wadau wote wa ufugaji na kutoa elimu juu ya zoezi hilo ili watambue faida ya uchapaji chapa.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni