KILIMO CHA UFUGAJI WA NGURUWE

Watanzania wameshauriwa kujifunza kilimo cha ufugaji wa nguruwe ili kupata maendeleo ya kiuchumi.Hata hivyo wametakiwa waondokane  na dhana potofu ya kusema nyama hiyo ina madhara ya kiafya kwa walaji wa mboga hiyo.Diwani wa kata ya  vikindu ambaye pia ni mkurugenzi wa  tandan formi od  Nicholas John Kampa amesema inawezekana jiji la dar es salaam kuwa na upungufu wa  nyama ya nguruwe kutokana na kuanguka paa la nyumba ya kufugia nguruwe wenye mimba  katika shamba la tandan lililopo  kata ya vikindu kijiji cha kisevule wilaya ya mkuranga mkoa wa pwani,Baada ya kuanguka kwa paa hiyo wamekufa nguruwe 25 wakiwa na ujauzito.Kampa amesema mkoa wa dar es salaam wanategemea nyama za kutoka  shamba la tandan vikindu ambapo kwa siku ulisha tani 5 kwa siku.Wakati mkoa wa Dar es salaam unahitaji nyama tani kumi kwa siku. kutokana na kufa kwa nguruwe hao uzalishaji utashuka zaidi hivyo haitawezekana  kupatikana hata tani tano ya Nyama.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List