Jana December 25 2015 ilikuwa siku ambayo wakristo sehemu mbalimbali Duniani waliungana kusherehekea sikukuu ya Christmas… lakini haikuwa sherehe tu ya kukaa nyumbani na kusherehekea, ilikuwa siku ya kukutana kwenye nyumba za ibada kwa ajili ya kusali na kumshukuru MUNGU.
Rais John Magufuli aliongozana pia na Mama Janeth Magufuli kwenda kanisa la
St. Peters , Oysterbay Dar es Salaam kwa ajili ya ibada.Picha zao na nukuu ya alichokisema ibadani.
Kwenye ripoti toka Ikulu kuna nukuu ya hiki alichokiomgea Rais Magufuli akiwa kanisani jana >>> ‘ Ndugu waumini wenzangu, mimi ni yuleyule, nipo vilevile na nimekuja hapa kama Mkristo wa kawaida, muendelee kuliombea taifa hili na mtuombee pia sisi viongozi wake ‘- Rais
Magufuli.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni