Maafisa wapewa hadi leo kusema aliko faru John Tanzania

Waziri mkuu nchini Tannzania amewapa maafisa wa hifadhi ya wanyagapori nchini humo hadi leo Alhamisi, kueleza aliko faru mweusi maarufu kwa jina John.
Kassim Majaliwa alisema kuwa maafisa hao aidha wotatoa pembe ya faru huyo ikiwa kama amekuafa au waseme aliko.
Faru huyo alitoweka katika mbuga ya taifa miezi mitatu iliyopita. Kuna ripoti kuwa maafisa hao walihusika na kuuzwa kwa John kwa zaidi ya dola 90,000
Idadi ya faru imepungua zaidi nchini Tanzania huku wengi wakiuawa na wawindaji haramu ambao huuza pembe zao kwenda mataifa ya Asia

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List