Muuguzi mstaafu wa hospitali ya Mwananyala ambaye alitumikia kwa zaidi ya miaka 30.Bi Victoria Makala Mkenso (maarufu kama Bibi Kanitangaze au Kanisambaze) amefanya sherehe kubwa Nyumbani kwake baada ya kulipwa mafao yake ya kiinua mgongo na kusherekea na majirani,rafiki na ndugu.Pia ameweza kumshukuru mwenyezi MUNGU kwa kumfikisha hapa na kustaafu salama bila dosali yoyote kazini.Pia amewataka wauguzi wafanye kazi kwa wito na kutojali maslai yao binafsi,kwa kuwa kazi ya kuwahudumia wagonjwa inahitaji uwe na moyo wa uzalendo na kujitolea.Pia amekemea swala la rushwa kwa kuwaomba wauguzi na wahudumu kutoomba wala kupokea rushwa sababu ni adui wa haki na maendeleo.Mwisho alielezea mafanikio aliyoyapata kutokana na kazi yake kama kuwa na nyumba,Kisima cha maji na gari ya kutembelea.
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 6 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni