DC Hapi atoa vifaa tiba Hospitali ya Mwanayamala
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi leo ametoa vifaa tiba katika Hospitali ya Mwanayamara iliyopo wilaya ya kinondoni jijini Dar es salaam ikiwa ni sehemu ya kumuunga mkono Rais Dkt. Magufuli.
Ameyasema hayo mapema hii leo alipokuwa akitoa vifaa hivyo katika hospitali hiyo, amesema kuwa vifaa hivyo vinagharama ya shilingi milioni 400 ambapo vitasaidia kupunguza changamoto mbalimbali hospitalini hapo.
‘Ndugu zangu vifaa hivi vitasaidia kupunguza changamoto kwa kiasi kikubwa, naomba tu kuwahamasisha wananchi kuungana na Serikali kuweza kusaidia Hospitali zetu sehemu ambapo kila mmoja atafaidika,”amesema Hapi
Hata hivyo, Hapi ameongeza kuwa bado hajaridhishwa na ukusanyaji wa mapato katika huduma ya wagonjwa wa msamaha ambapo Serikali inagharimia fedha nyingi zinakwenda kugharamia wagonjwa wa misamaha kuliko wale wa kawaida.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni