DC Hapi atoa vifaa tiba Hospitali ya Mwanayamala
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi leo ametoa vifaa tiba katika Hospitali ya Mwanayamara iliyopo wilaya ya kinondoni jijini Dar es salaam ikiwa ni sehemu ya kumuunga mkono Rais Dkt. Magufuli.
Ameyasema hayo mapema hii leo alipokuwa akitoa vifaa hivyo katika hospitali hiyo, amesema kuwa vifaa hivyo vinagharama ya shilingi milioni 400 ambapo vitasaidia kupunguza changamoto mbalimbali hospitalini hapo.
‘Ndugu zangu vifaa hivi vitasaidia kupunguza changamoto kwa kiasi kikubwa, naomba tu kuwahamasisha wananchi kuungana na Serikali kuweza kusaidia Hospitali zetu sehemu ambapo kila mmoja atafaidika,”amesema Hapi
Hata hivyo, Hapi ameongeza kuwa bado hajaridhishwa na ukusanyaji wa mapato katika huduma ya wagonjwa wa msamaha ambapo Serikali inagharimia fedha nyingi zinakwenda kugharamia wagonjwa wa misamaha kuliko wale wa kawaida.
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 5 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni