Chama cha adc wamefanya mkutano wa kutathimini maendeleo na changamoto katika kipindi hiki cha miaka mitano ya chama hicho.Pia wamejipanga kuwapa maendeleo wananchi kwa kuwapa mikopo isiyokuwa na riba lengo ni kuinua uchumi kwa jamii walio maskini.Wakiongea na mwandishi wa blog wamesema wanamuunga mkono mhe rais wa awamu ya tano na wako bega kwa bega kuhakikisha wanamsaidia katika malengo yake ya kuongeza viwanda na kusimamia viweze kuwaletea maendeleo kwa Watazania.Hayo amesema kiongozi wa chama hicho . akimalizia amesema watahakikisha wakulima wa karafuu visiwani zanzibar wanapata maendeleo na kunufaika na zao hilo.
WATUMISHI SUA WAJIVINJARI HIFADHI YA NGORONGORO
-
Baadhi ya Watumishi wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) wakiwa nje
ya geti la kuingia katika Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro, Agosti
25, ...
Saa 2 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni