Chama cha adc wamefanya mkutano wa kutathimini maendeleo na changamoto katika kipindi hiki cha miaka mitano ya chama hicho.Pia wamejipanga kuwapa maendeleo wananchi kwa kuwapa mikopo isiyokuwa na riba lengo ni kuinua uchumi kwa jamii walio maskini.Wakiongea na mwandishi wa blog wamesema wanamuunga mkono mhe rais wa awamu ya tano na wako bega kwa bega kuhakikisha wanamsaidia katika malengo yake ya kuongeza viwanda na kusimamia viweze kuwaletea maendeleo kwa Watazania.Hayo amesema kiongozi wa chama hicho . akimalizia amesema watahakikisha wakulima wa karafuu visiwani zanzibar wanapata maendeleo na kunufaika na zao hilo.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni