MIAKA MITANO YA ADC TANZANIA.

Chama cha adc wamefanya mkutano wa kutathimini maendeleo na changamoto katika kipindi hiki cha miaka mitano ya chama hicho.Pia wamejipanga kuwapa maendeleo wananchi kwa kuwapa mikopo isiyokuwa na riba lengo ni kuinua uchumi kwa jamii walio maskini.Wakiongea na mwandishi wa blog wamesema wanamuunga mkono mhe rais wa awamu ya tano na wako bega kwa bega kuhakikisha wanamsaidia katika malengo yake ya  kuongeza viwanda na kusimamia viweze kuwaletea maendeleo kwa Watazania.Hayo amesema kiongozi wa chama hicho . akimalizia amesema watahakikisha wakulima wa karafuu visiwani zanzibar wanapata maendeleo na kunufaika na zao hilo.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List