Uongozi wa Sdm production media unatoa pole kwa watu wote walioguswa na Msiba wa mke wa Waziri Mwakyembe kwa kufiwa na mke wake Linah Mwakyembe. Hivyo tunaungana na watanzania wote katika kutoa faraja kwa Mheshimiwa Waziri na Viongozi wote.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni