Uongozi wa Sdm production media unatoa pole kwa watu wote walioguswa na Msiba wa mke wa Waziri Mwakyembe kwa kufiwa na mke wake Linah Mwakyembe. Hivyo tunaungana na watanzania wote katika kutoa faraja kwa Mheshimiwa Waziri na Viongozi wote.
MSAMA :VIONGOZI WA DINI MSIHUBIRI SIASA MADHABAHUNI
-
Muandaaji wa matamasha ya kidini ya Pasaka na Krismasi, Alex Msama,
amewataka viongozi wa dini nchini kuhakikisha kuwa nyumba za ibada
zinabaki kuwa mae...
Saa 10 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni