PUMZIKA KWA AMANI SETH KATENDE(BIKIRA WA KISUKUMA), POLE UBAONI, POLE EFM

Taarifa ambazo zilizotoka jioni ya July 9, 2017 zilikuwa ni kuhusu kifo cha Seth Katende ambaye alikuwa Mtangazaji wa
EFM akiwa kwenye matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Leo Seth Katende amezikwa katika Makaburi ya Kinondoni.
Seth Katende alijipatia umaarufu mkubwa kwenye mitandao ya kijamii Tanzania akifahamika kwa jina la ‘Bikira wa Kisukuma’.

Na katika kipindi kilichokuwa kinaruka hewani cha ubaoni wakishirikiana na Mpoki na Emma Kapanga, kutoka redio EFM na kujizoelea umaarufu mkubwa hivyo kupendwa na watu wa rika zote Tanzania.
Tunajua msiba wake ni mkubwa na ameacha majonzi kwa Watanzania wote. Pumzika kwa Amani

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List